Saturday, October 9, 2010

Uongozi na Uchaguzi wa Nchi za Africa

CCM au upinzani, Kushindwa kwa kiongozi huyu au yule sio tatizo la Tanzania au Africa katika Uso wa dunia. Tatizo ni umasikini, afya mbaya, uchumi duni, rushwa na hali duni ya kimaisha kwa ujumla. Sasa kama kuna kiongozi mwenye mwelekeo na anasera za kututoa kwenye hali hii duni basi ndie twamtaka. Awe upinzani au chama tawala hiyo sio hoja. Unaona watanzania na waafrica tulivyo na fikara potofu? Tunakimbilia peremende/gololi kama watoto wachanga angali wenzetu wa Ulaya, Marekani, na Asia wanakimbilia lulu, dhahabu na almasi. Tofauti yetu kizazi hiki na kile cha machifu waliouza nchi na bara kwa mkoloni ziko wapi sisi waafrica? Tukumbuke Mwalimu alisema ni bora kuwa masikini wa mali, utapata ujuzi na maarifa ya kujikomboa, kulikoni kuwa na taifa la watu wenye umasikini wa mawazo na maarifa kwani hakuna ukombozi. (Hawa ndio viongozi wetu wa Africa ndio maana tupo tulivyo) kwasababu lolote ufanyalo linaupungufu na kasoro. Je? sisi watanzania na waafrica kwa ujumla tuna upungufu gani? Angalia Brazili, Raisi Luiz InĂ¡cio Lula da Silva ameikomboa nchi yake na sio kwa miujiza ila sera za kujenga Taifa. Ulaya na America wana vichwa au ubongo au akili ngapi? Kwanini sisi waafrica hatuwezi kufanya mambo ya kuboresha mazingiza na maadili yetu? Hili ni swali kila mwanajamii anatakiwa kujiuliza na kumwuliza kila kiongozi katika kila ngazi kabla ya kupiga kura kumchagua. na asipotimiza ahadi hizo ndio kuwe na sera za kumwajibisha kiongozi ambaye sio mwadilifu kwenye jamii. Sio lazima kama french revolution lakini, ni lazima kuwa na sera za kuwajibishwa. Maendeleo sio mali alisi tuu, sera nazo zinatakiwa ziambatane na maendeleo yatokanayo na mali halisi, na hii ni katika uongozi wa ngazi zote na idelogy zote. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa na watu wake wote ili waweze kutambua kuwa maendeleo ni sera za kuleta maendeleo na sio sera za kushinda uchaguzi; Then what next?. Mungu tuokoe wano, tupo bado kwenye utumwa wa kimafikara. Tupe nguvu za uongozi wa Musa na maarika ya kupambana na adui (Ujinga, umasikini na rushwa) kama Daudi alivyomshida Goliati. Amina

Sunday, October 3, 2010

Retracking

In the My passion for Tanzania and Frica post I mean to say that "We ought to learn from our opponents, forget-not the Bile say that keep your opponents closer so that you can learn from what they challenge you".

My passion for Tanzania and Africa at large

Tanzania and Africa at large we need true and real leadership. The world is matching forward, while Africa remains stagnant or backward. That is the truth by all measures of all regional block and economic standard. I suggest we start good leadership from family level to the national and continental level. We gotta stop bad traditions that keep us proud but poor. Pride does not build rather creates arrogance of which too many Africans tend to dwell on. Now that is not development. I make mistakes I gotta suck it up, admit and learn from it not maintaining status quo. We need true Leaders and committed. Too often education is used as pride of many African leaders but they forget that the can have degrees from the books but if what they learned cannot be transferred into what they practice and change the community for better they are not educated at all. I wander what do African Leaders learn every year when they come to NY, UN general assembly so that they can implement in their mother countries? It is disturbing, if we still have the sentiments of killing and destroying your opponents. We ought to learn from our opponents forget the Bile say that "keep your opponents closer so that you can learn from what they challenge you". To do so every African can start been a good parent because the nation is the reflection of the families at the national level. That' right, psychologist Ericson said that family is the principle foundation of all major organizations, therefore family is an important institution. Got it, yes your and my family is very important players of the organization, town/village, district, province/state, nation, region, continent and universe/international. Till we can untangle this puzzle we African can’t make it in the true face of the world